Riz king
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 276
- 549
Huyu mtangazaji nguli, mwenye weledi mzuri na uelewa mpana wa mambo. Mtoto mwenye swaga classic na pisi kali hapa mjini kwenye makazi ya ndugu yetu Paulo mwana wa Makonda.
Nakumbuka alipata kuwa maarufu hasa kipindi cha marehemu mwendazake, hadi alikuwa akiongea na mwendazake live akiwa kwenye kipindi.
Yu wap Babyi Kabae?
Nakumbuka alipata kuwa maarufu hasa kipindi cha marehemu mwendazake, hadi alikuwa akiongea na mwendazake live akiwa kwenye kipindi.
Yu wap Babyi Kabae?