PAPAKINYI - SJUT 2013
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 367
- 251
aisee! too bad.Mara ya mwisho nilisikia ana kesi ya matumizi ya silaha na madawa ya kulevya...ilikuwa juzijuzi hapa
sijajua taarifa zake kwa sasa anaendeleajeaisee! too bad.
ahsante mkuu!!Yupo sema ana majanga ya kutosha
Hadi sasa anakabiliwa na mashitaka 14 ya ukwepaji kodi na akikutwa na hatia miaka 44 jela inamuhusu.
Hiyo ni ngoma yake alioiachia mapema mwaka huu
dah!!!!!Amekuwa mzee wa jela sikuhiz, wapi Ja Rule (decorated version of dmx)?