Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
KUBWA LA MAADUI tunaomba story za mama kubwa na mchungaji heheheh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]NIPO NIMEACHIKA TALAKA 3! Najipunguza mwili kwanza! NARUDIIIII KUDANGAAA HUMU UPYAAAAA! MJIPANGE! Mama Lao narejea!
yaani money penny ..mwehu yule ndio una m-compare na genius maandishi Lara moko....mkuu you cant be seriouslyNilishapitia nyuzi za lara 1 (last seen yake jana) so inaonekana yupo
Mbwembwe zake zinataka kufanana na za Money Penny
Wow! Can't wait for your come back!Actually sahivi mtoto wa KIMATAIFA! Nimetuma border zote muhimu
Nitakuonesha wapi anapofichwagwa lara 1 ... siku hizi kamekua kua kakubwa...
yaani money penny ..mwehu yule ndio una m-compare na genius maandishi Lara moko....mkuu you cant be seriously
Kubwa la maadui Lara1 you are real missedWakongwe humu mtamkumbuka huyu mwanadada wa kuitwa Lara 1, "kubwa la maadui" . Posts zake ulikuwa huchoki kuzisoma, full of wit, mtoto wa mjini haswa! Sijamuona kitambo humu. Nimemiss uwepo wake.