Wengi wanasema Chris Bella ndie undisputed king of vocalist in Tanzania...sawa Bella yuko vizuri ila hivi kweli anamfikia Mao Santiago...wazee wenzangu yu wapi Mao Santiago...huyu mkali sijamsikia siku nyingi sana toka enzi za Papii Kocha...
Jamaa alikuwa anaongea hadi huruma,
nanukuu sehem ya maneno yake
" mimi nimekuja huku peke yangu, mjomba, baba,mama na kila kitu ni mimi. Sasa unapewa
Mkataba mgumu, unasaini bila kuelewa na hakuna wa kunijuza au kunipigania, unajikuta unaishia lupango" mwisho wa kunukuu
Mungu analipa yote,tumuachie yeye ila inauma sana mana mtu anapambana kujikwamua kimaisha kumbe kuna wabaya wanataka wewe udidimie then wao wapande juu zaidi.Pesa,majumba,magari n.k vyote tunaviacha