Yu Wapi msanii nguli 20%?

alpha simon

Member
Joined
Sep 21, 2016
Posts
7
Reaction score
3
Heshima kwenu wadau! Naomba kufahamishwa,yu Wapi msanii nguli aliye wahi kuvuna tuzo tatu za kili kwa wakati mmoja? almaarufu 20%?
 
Daaah
Huyu jamaa ni msanii asiye jijali kuliko wote duniani.
Aligombana na man waltet baadaye akawa ana shinfa na afande sele wanapiga bange tuu nakunywa, sijajua kama aliishia wap tena
Ule mwaka wa tamaa mbaya na ule wimbo mwingine kwa kweli ali hit
Ila mpaka kesho naupenda wimbo wa mama neema bonge ya wimbo ile
 
Amerudi tena kwa man Walter na ameto ngoma yake mpya kwa man Walter nyimbo inaitwa usitoe•sema haijafanya vizuri.
 
Kama aliishia kwenye jani tu anaweza kutoka tena,lakini kama aliongezea na ngada,itakuwa ndiyo nitolee
 
Alipopata zile tunzo,Clouds wakataka kumfanyia Kama tafrija kumpongeza,akawatukana."siwezi kufanya kazi na radio ya kise...nge",akamwagana naWalter kabla ya kupatana,wakati huo fitina zikaanza hakuna kupiga nyimbo yake,FM radio nyingi zikampotezea...ukichanganya na uvutaji bangi na mtindo wa maisha wa hovyo kijana akapotea.
 
20% sidhani kama alikusudia kufika hata hatua ile.
 
Afande bana huwa anajitoa ufahamu sana, watu wa Moro wangefanya makosa makubwa sana kumchagua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ila jamaa huwa namskikizaga akiongea kwenye media sja wahi ona anatema pumba asee
Ndo anacho nishangaza daily
 
Kila kitu kujipanga kama alijipanga basi atajipanga tena
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ila jamaa huwa namskikizaga akiongea kwenye media sja wahi ona anatema pumba asee
Ndo anacho nishangaza daily
Ni kweli ila muonekano na matendo huwa anasahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…