Yu wapi Prof. Lumumba? (PLO)

Yu wapi Prof. Lumumba? (PLO)

Admin1988

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2017
Posts
1,603
Reaction score
1,848
Habari wakuu,

Huyu mwamba sija msikia kabisa kuzungumzia kifo cha JPM japo speech zake alikuwa ana mfagilia MNO na alikuja akapewa zawadi na HAYATI JPM.

Alipo jamani mwambieni JEMBE LETU LIMEONDOKA,
 
Imekuwa yuko wapi yuko wapi,yani ukiamka yuko wapi,yani ni upumbavu tu umejaa kwako.. haya mme wako yuko wapi,tuanzie hapo!!
Mimi ndio mme KAMA UNA MCHECHETO nipatie niutulize.

Ila njoo na picha yako PM niku thaminishe KWANZA kabla ya kukumwagia mbegu
 
Habari wakuu,

Huyu mwamba sija msikia kabisa kuzungumzia kifo cha JPM japo speech zake alikuwa ana mfagilia MNO na alikuja akapewa zawadi na HAYATI JPM.

Alipo jamani mwambieni JEMBE LETU LIMEONDOKA,
Unataka umsikie wapi? Jaribu kutafuta kwenye mitandao yake basi ujidhihirishe
 
Habari wakuu,

Huyu mwamba sija msikia kabisa kuzungumzia kifo cha JPM japo speech zake alikuwa ana mfagilia MNO na alikuja akapewa zawadi na HAYATI JPM.

Alipo jamani mwambieni JEMBE LETU LIMEONDOKA,
Kwenye forum yake ana kipindi cha wiki nzima for Magufuli.

Kuna session ya saa 1 na dk 22 wanamzungumzia shujaa Magufuli
 
Back
Top Bottom