Hahahaha. Yeye hana haja na hiyo mi noble peace price ambazo ni freemasons oriented. Yeye ni kuchana mbuga tu hewani.so what? Nilidhani anakabidhiwa breakthrough prize in medicine or the like in other fields of academics and the Nobel Prize committee in Sweden is preparing to Honour him! kumbe ni hiyo tu 1st class!๐๐๐๐๐
Tulia weweeeNakazia
Mkuu kuna tabia zinatia mashaka, ukiona mtu mzima anafanya vitu vya ajabuajabu hadharani lazima kuna shidaHahaha Mkuu acha vituko
Ndo maana anakuombea maisha marefu na usiwe kipofu.Huyu mwamba licha ya kuwa mtoto wa mjini lakini bado mshamba. Mifuko imetuna tuna kama sare za polisi, anaonesha mkanda ili iweje?
Nakazia
Na ww ukirudi bongo TUTAKUPIMA hio radiusTulia weweee
Aaah acha basi, usikute wewe maghayo ndio Mau mwenyewe.Ndo maana anakuombea maisha marefu na usiwe kipofu.
Hao watakaothubutu kunipima ndo mimi naanza kuwapima na siyo kuwapima tu na mkong'oto wa haja juu.Na ww ukirudi bongo TUTAKUPIMA hio radius
Ni aibu mtu mzima kama wee kuwa chawa wa Kitenge au wewe ndio Maulid mwenyewe? ๐๐Mzuka wanajamvi!
Yuko london Ungereza endeleeni sasa kuroga na kumuombea mabaya.
Anachowaombea tu ni wawili muishi maisha marefu na msiwe vipofu.
Kufa hamfi lakini cha moto mnaona.
View attachment 2982495View attachment 2982496View attachment 2982497
Israel inajinyeanyea tuIsrael FOREVER
Nangojea comment ile maghayo kashakula vitu vyake๐๐Mh Maghayo nawe Ume Anza kuwa chawa ๐๐.
adriz, Mufti kuku The Infinity, Selikavu huyu Jamaa kweli chizi๐
Hahaha mbrrr mbrrrr mbrr aiiii kammonNangojea comment ile maghayo kashakula vitu vyake๐๐