Yuko wapi aliyekuwa kiungo mshambuliaji hayari wa Simba Chama?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Wakuu Chama ni mmoja wa viungo washambuliaji hatari wanaotajwa kuwahi kutokea katika historia ya ligi yetu.

Huyu mwamba amepotekea wapi? Kipaji chake kilifanya wafau wa michezo na mashabiki wa Simba sc wamuimbe kila uchwao.

Je! Nini kimemkuta? Ligi inaelekea mzunguko wa pili sasa hasikiki wala aonekani yu wapi huyu Chama? Alyepewa jina la mwamba wa lusaka kutokana na kusakata kabumbu kwa ustadi wa hali juu?

 
Yaani takwimu Zina utamu wake
Ukifanya shughuli zako kwa kutegemea takwimu utafanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi huku ukiwaacha wajinga wakishangaa. Takwimu za msimu mzima uliopita hazifikii takwimu za nusu msimu alizocheza Jean Ahoua
 

Attachments

  • Screenshot_20241230-133100.jpg
    215.7 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…