Yuko wapi aliyesema Arteta hafai kuwa kocha wa Arsenal?

Fao La Kujitoa

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
396
Reaction score
966
Nauliza tu kwa Uzuri siyo kwa ubaya. Yuko wapi yule mwanajamvi aliyesema Mikel Arteta hafai kuwa kocha wa Arsenal? Ni vizuri kuweka akiba ya maneno.

'Mungu mbariki Arteta'

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Bado sijamkubali kabisaa.
Falsafa zake anazijua yeye mwenyewe.
 
Unamfukuza arteta unamleta nani?

Duniani makocha wazuri wachache sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…