TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Mzee yupo kamili gado humu nchini na anafikiria kurejea kwenye political scene mapema uchaguzi mkuu ujao πWanajamvi ni swali tu sijamuona muda mrefu mwanasheria nguli huyu si sehemu za furaha au misiba haonekani
Anajua alipo atujuze.
Madhulumati yote ya haki za watz yanatakiwa yapungue au yaishe kabisa... Haiwezekani tz Imilikiwe na wasio na upeo wa maendeleo na dhulmaπ±π±πͺπͺπͺπͺπͺujamuona msibani dar kwa lowasa
Unataka uwe mke wake mdogo ?Wanajamvi ni swali tu sijamuona muda mrefu mwanasheria nguli huyu si sehemu za furaha au misiba haonekani
Anajua alipo atujuze.
Nchi yenu haina vyombo vya kusimamia haki na sheria ?Hilo ni jizi lilokubuhu sasa linakula mihela yake aliyokwiba.
Hivyo vyombo vipo huru katika kusimamia haki na sheria? Mfano dili la rada kapiga hela ya kutosha katika hela ya udalali japo yeye alisimama kama mwanasheria wa serikali na anajigamba hawezi kufungwa kwa sababu alifanya yote hayo kwa ruhusu ya namba moja wa wakati huo na sote tunakumbuka hata profesa Mahalu alichomoka kwa mtindo huo huo.Nchi yenu haina vyombo vya kusimamia haki na sheria ?
Kama vipo iweje huyo unayesema ni mwizi aachwe uraiani akila mema ya nchi ?
Mpeleke mkeo au mamaakoπUnataka uwe mke wake mdogo ?
Hatimaye nimemuoma Kanisani Leoππππ mods pls futa huu uzi swali limepata jibuππππujamuona msibani dar kwa lowasa
Akifa atasifiwa sana.Hilo ni jizi lilokubuhu sasa linakula mihela yake aliyokwiba.