Yuko wapi Andrew Chenge Mzee wa Vijisenti?

Uzee habari nyingine.
Unaweza ukawa na vijisenti vingi, mitoto yenye chura inajipitisha lkn huwezi kuwafanya kitu. Nyama ya mbuzi choma unaiona lkn ndio hivyo Tena.
 
Wanajamvi ni swali tu sijamuona muda mrefu mwanasheria nguli huyu si sehemu za furaha au misiba haonekani

Anajua alipo atujuze.
Mzee yupo kamili gado humu nchini na anafikiria kurejea kwenye political scene mapema uchaguzi mkuu ujao πŸ’

R I P Laigwanan comrade ENL
 
ujamuona msibani dar kwa lowasa
Madhulumati yote ya haki za watz yanatakiwa yapungue au yaishe kabisa... Haiwezekani tz Imilikiwe na wasio na upeo wa maendeleo na dhulma😱😱πŸ˜ͺπŸ˜ͺπŸ˜ͺπŸ˜ͺπŸ˜ͺ
 
Hivi kwa nini kodi yetu inalipa watu wasio na shukrani na kidogo wanachokipata?? "wanatamani tuhamie burundi sio????? Ambako hakuna hali ya hewa iliyopo hapa kwetu??? Basi sawa..... Yupo ambaye yupo kwa siku nyingi zilizipita na zijazo..... Itafahamika tuπŸ˜”
 
Nchi yenu haina vyombo vya kusimamia haki na sheria ?
Kama vipo iweje huyo unayesema ni mwizi aachwe uraiani akila mema ya nchi ?
Hivyo vyombo vipo huru katika kusimamia haki na sheria? Mfano dili la rada kapiga hela ya kutosha katika hela ya udalali japo yeye alisimama kama mwanasheria wa serikali na anajigamba hawezi kufungwa kwa sababu alifanya yote hayo kwa ruhusu ya namba moja wa wakati huo na sote tunakumbuka hata profesa Mahalu alichomoka kwa mtindo huo huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…