Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
Atakuwa anaiba pawa windo.
Kumbe handsomeHuyu jamaa aliibuka miaka ya 2004 hadi 2008 hivi
Akiwa na ujio wa kuitwa "Kizizi",
Baadaye akaja na "Mara 7",
Pia aliachia hadi album.
Alikuwa chini ya G_Productions kama sikosei,
Na alifananishwa sana na Mr.Blue kwa miondoko yake.
Tujuzane ,
Kwa sasa yuko wapi na anashughulika na nini tofauti kuimba?
Jamaa anabana pua mbaka kwenye mahojianoHuyu hapa.....