samahani sijibu topic yako ,bali jamii kumezidi udini. Mungu ahukumu admistration yake.
Yupo TPDC kama legal officer ila kabadilisha jina lake lote, anajiita eti Rafaeli Mgaya, wanaotaka kumwona waende pale TPDC na usimuulize kwa jina la bahati tweve uliza Rafael Mgaya halafu inabyosemekana jamaa ni TISS hata TPDC alipata kazi kimaajabu sana. Tangazo la ajira lilitaka wenye 1st ama upper 2rd class, ye alikuwa na lower tena mbaya lakini alipata kazi.