Yuko wapi Balama mapinduzi "Kipenseli"

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,057
Reaction score
2,364
Wakuu
Tunaelekea msimu wa 2021-2022
Wachezaji wameshajua hali zao, ligi na timu watakazochezea

Sasa naona imekuwa kimya kirefu kwa mchezaji wa yanga balama mapinduzi tangu alipoumia na tulitaarifiwa atakaa nje ya uwanja kwa msimu mzima

Sasa tunauanza msimu mpya bila kupewa taarifa yoyote, je Balama bado yupo yanga?
Anahali gani huko alipo?
 
Kwani humuoni kika siku yuko na yanga ila bado haanza rasmi kucheza yuko kwenye programu ya matibabu na rehabilitation

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Yupo gereji,yule ni pancha kama Shaban Juma,mechi moja uwanjani nyingine kwa Uchebe gereji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…