Yuko wapi Baraka Da Prince?

Yuko wapi Baraka Da Prince?

Itovanilo

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2018
Posts
2,314
Reaction score
5,150
Habari Wana bodi,

Maisha ni watu na bila watu hakuna maisha,lazima watu waongelewe,wajadiliwe ndiyo maisha yenyewe. Ukiwa Famous, super star,n.k lazima utajadiliwa lakini Kuna watu humu utasikia wakihoji eti kwanini unamjadili mtu,sijui ni kukosa kazi za kufanya,

Mara ooh,unamjadili tajiri ilhali wewe huna kitu, mara ooh ni ujobless. Naomba niwaambie tu kuwa Kila mtu mwenye Akili timamu ana majukumu na shughuli nyingi za kufanya

Namaanisha kazi siyo vibarua vya kupandisha matofali huko ambapo huna hata uwezo wa kuchezea smartphone yako.
Kwa wakati. Haters wote piteni kama hamjauona huu Uzi.

Kwenye mada:

Namuulizia Baraka aliyejipa uprince huku akiwa Hana uhakika wa kibarua chake kwenye industry ya bongo flavor.

Dogo aliimba Sana huu wimbo Uitwao "siachani nawe"

Hebu enjoy lyrics, second verse
Labda juu ya kaburi utanipenda Mimi, nikiwa Sina uhai.
Hisia zangu haziheshimiwiii,najidharau sifai..
Heri ya upofu wa macho kuliko nayoyaona..
Umeruhusu mboni zangu Mimi, kumwaga machozi.yaaniii...
Ungejua hisia za mapenzi kutesa moyo ila Bado hazichoshi
Kupendwa sipendwi najua wazi ila Bado siridhiki...
Maana kesho nitaurubuni moyo,unapendwa na unapenda,,,
Nina meno ila najiona kibogoyo,kweli penzi donda moyo...[emoji3531][emoji3531]

Baraka rudi kwenye gemu mdogo wangu, wengine hatuwezi kusikiliza sandakalawe.
 
Umejitetea sana mkuu [emoji3][emoji3] wapenda burudani hatuoni tatizo kujadili wasanii.

Huyu jamaa kipindi ameamua kuwa chawa wa kiba ndipo alipoanza kuharibu. Alipogombana na Kiba niliwahi andika humu na kuuliza Je huu ndio mwanzo wa mwisho wa Baraka? Ni miaka imepita lakini imetimia..

Kule kujipendekeza Team Kiba kulimjengea haters wengi toka wcb, na alipoharibu team kiba akawa hata kule wasafi alikojaribu kucheza kete zake nako akawa haaminiki.
Alaf bifu la team kiba mziki wake sio mdogo, akaharibu zaidi alipoanza kumtukana Kiba pale ndo alijizika rasmi.

Mtoa mada ukisema Baraka arudi kwenye game unakosea, Baraka anatoa nyimbo kila uchao na ni ngoma kali sana, ila ndo hivyo hapewi attention yeyote.

Nb: Twende mbele turudi nyuma kajamaa kanaimba sana, kuna ngoma kama Usiniache(mo music), Niseme Nawe(Otile Brown) na Mapenzi Ugonjwa (Mwasiti) japo kashirikishwa tu humo ila kavunja vibaya.
 
Umejitetea sana mkuu [emoji3][emoji3] wapenda burudani hatuoni tatizo kujadili wasanii.

Huyu jamaa kipindi ameamua kuwa chawa wa kiba ndipo alipoanza kuharibu. Alipogombana na Kiba niliwahi andika humu na kuuliza Je huu ndio mwanzo wa mwisho wa Baraka? Ni miaka imepita lakini imetimia..

Kule kujipendekeza Team Kiba kulimjengea haters wengi toka wcb, na alipoharibu team kiba akawa hata kule wasafi alikojaribu kucheza kete zake nako akawa haaminiki.
Alaf bifu la team kiba mziki wake sio mdogo, akaharibu zaidi alipoanza kumtukana Kiba pale ndo alijizika rasmi.

Mtoa mada ukisema Baraka arudi kwenye game unakosea, Baraka anatoa nyimbo kila uchao na ni ngoma kali sana, ila ndo hivyo hapewi attention yeyote.

Nb: Twende mbele turudi nyuma kajamaa kanaimba sana, kuna ngoma kama Usiniache(mo music), Niseme Nawe(Otile Brown) na Mapenzi Ugonjwa (Mwasiti) japo kashirikishwa tu humo ila kavunja vibaya.
Dogo anajua sana
 
Umejitetea sana mkuu [emoji3][emoji3] wapenda burudani hatuoni tatizo kujadili wasanii.

Huyu jamaa kipindi ameamua kuwa chawa wa kiba ndipo alipoanza kuharibu. Alipogombana na Kiba niliwahi andika humu na kuuliza Je huu ndio mwanzo wa mwisho wa Baraka? Ni miaka imepita lakini imetimia..

Kule kujipendekeza Team Kiba kulimjengea haters wengi toka wcb, na alipoharibu team kiba akawa hata kule wasafi alikojaribu kucheza kete zake nako akawa haaminiki.
Alaf bifu la team kiba mziki wake sio mdogo, akaharibu zaidi alipoanza kumtukana Kiba pale ndo alijizika rasmi.

Mtoa mada ukisema Baraka arudi kwenye game unakosea, Baraka anatoa nyimbo kila uchao na ni ngoma kali sana, ila ndo hivyo hapewi attention yeyote.

Nb: Twende mbele turudi nyuma kajamaa kanaimba sana, kuna ngoma kama Usiniache(mo music), Niseme Nawe(Otile Brown) na Mapenzi Ugonjwa (Mwasiti) japo kashirikishwa tu humo ila kavunja vibaya.
kuna shemeji kashirikishwa na darasa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom