Kuna siku sijui Twitter aliuliziwa hivihivi.Mwananzengo mmoja akaandika Hivi,Nanukuu."Karibu katika uwanja wa Benjamin Mkapa ,Hali ni shwari kabisa.Jiji la Mama na Mama anaupiga mwingi."Mwisho wa kunukuu.
Hayo ni maneno yake kwenye mechi moja Hivi.Sasa pengine maboss wake wameona anafiti zaidi kwenye siasa zaidi ya kwenye chombo Chao.