Yuko wapi Baraka Magufuli? Nimemkumbuka sana!

Yuko wapi Baraka Magufuli? Nimemkumbuka sana!

kante mp2025

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2022
Posts
631
Reaction score
1,192
Baada ya kuona Madaraka Nyerere mtoto wa Baba Taifa akitaka Steve Mengele a.k.a Steve Nyerere kuacha mara moja kujiita Steve Nyerere nikajikuta namkumbuka yule kijana wa Iringa mufindi aliyejizolea umaarufu kwa kuigiza sauti ya hayati Magufuli.

Ni muda sasa sijamsikia tena au nae alipigwa marufuku ya kuendelea kujiita Baraka Magufuli na kama yupo mwambieni nimemkumbuka sana!!
 
Baada ya kuona Madaraka Nyerere mtoto wa Baba Taifa akitaka Steve Mengele a.k.a Steve Nyerere kuacha mara moja kujiita Steve Nyerere nikajikuta namkumbuka yule kijana wa Iringa mufindi aliyejizolea umaarufu kwa kuigiza sauti ya hayati Magufuli.

Ni muda sasa sijamsikia tena au nae alipigwa marufuku ya kuendelea kujiita Baraka Magufuli na kama yupo mwambieni nimemkumbuka sana!!
Ananyea ndoo, za mafwele
 
Back
Top Bottom