Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kila zama na watu wake.Alikuwa katibu mkuu wa CCM kipindi cha Magufuli.
Yuko wapi au alikufa?
Alikuwa sahihi kabisa lakini walikumbuka shuka wakati kumeshakucha. Ilitakiwa baada ya uchaguzi wa 2015 mara baada ya Magufuli kuingia wabadili katiba na makamu wa rais asiwe tena ni mrithi wa kiti cha urais automatically. Hivyo basi 2020 baada ya uchaguzi tungeanza na katiba mpya ambayo makamu asingekuwa mrithi wa kiti cha urais.Hangaya amemnyamazisha na kumtuliza.
Lkn twende nyuma na turudi nyuma, maono ya Bashiru kuwa huyu mama hafai kuwa rais yalikuwa sahihi.
Yupo! Anajutia walipanga na kufanya maovu mengi na mwendazakeAlikuwa katibu mkuu wa CCM kipindi cha Magufuli.
Yuko wapi?
Kama babaako ndio alikufa na akifa bahati mbaya hatutajua kwakuwa ni nobody, lakini Mh. Dk. Bashiru Ally Kakurwa (PhD), (MB) yupo mzima na anachapa kazi zake za Kibunge, za Kitaaluma na za Kifamilia kama kawaida.Alikuwa katibu mkuu wa CCM kipindi cha Magufuli.
Yuko wap?
Bashiru ni Mwalimu wangu amenifundisha almost miaka mitatu. Ni nguli wa Sayansi ya siasa na darasani nilimwelewa vyema sana yeye na Dr Benson Bana. Licha ya ubingwa huko wa Sayansi ya siasa Dr. Bashiru hawezi siasa!...sio mwanasiasa ndio maana kwa kipindi kifupi sana alicholetwa kwenye siasa ameshindwa ku -survive.Leo tungekuwa tunasema Bashiru anaupiga mwingi, 2025 twende na Bashiru. He lacked consistency,he could be very far today if he chose to take the road not taken
Tumia dola kubaki kwenye dolaAlikuwa katibu mkuu wa CCM kipindi cha Magufuli.
Yuko wapi au alikufa?
Kwa hiyo kwa lugha nyepesi alikariri tu shuleni kama kawaida au sio?Bashiru ni Mwalimu wangu amenifundisha almost miaka mitatu. Ni nguli wa Sayansi ya siasa na darasani nilimwelewa vyema sana yeye na Dr Benson Bana. Licha ya ubingwa huko wa Sayansi ya siasa Dr. Bashiru hawezi siasa!...sio mwanasiasa ndio maana kwa kipindi kifupi sana alicholetwa kwenye siasa ameshindwa ku -survive.
Bila shaka na Dr Ng'wanza Kamata amekufundisha IR I na II.Bashiru ni Mwalimu wangu amenifundisha almost miaka mitatu. Ni nguli wa Sayansi ya siasa na darasani nilimwelewa vyema sana yeye na Dr Benson Bana. Licha ya ubingwa huko wa Sayansi ya siasa Dr. Bashiru hawezi siasa!...sio mwanasiasa ndio maana kwa kipindi kifupi sana alicholetwa kwenye siasa ameshindwa ku -survive.
Hajafaau alikufa?
Alifikia cheo cha Katibu Mkuu Kiongozi ( Cheif Secretary of State) wakati wa Jiwe. Ni cheo kikubwa mno.Alikuwa katibu mkuu wa CCM kipindi cha Magufuli.
Yuko wapi au alikufa?
Mnajadili vitu vya hatari!Leo tungekuwa tunasema Bashiru anaupiga mwingi, 2025 twende na Bashiru. He lacked consistency,he could be very far today if he chose to take the road not taken
Wewe ulishakufa zamani . Msukule wako unahangaisha watu jamii forumAlikuwa katibu mkuu wa CCM kipindi cha Magufuli.
Yuko wapi?