Dr Kamata alinifundisha Human Right Kisha akanidaka ikabid nipge sup! SoMo pekee kushikwa.Bila shaka na Dr Ng'wanza Kamata amekufundisha IR I na II.
Ulikuwa PSPA darasa la mwaka gani mate?
Wanna be National Vice chairman CCM candidate. .Kama babaako ndio alikufa na akifa bahati mbaya hatutajua kwakuwa ni nobody, lakini Mh. Dk. Bashiru Ally Kakurwa (PhD), (MB) yupo mzima na anachapa kazi zake za Kibunge, za Kitaaluma na za Kifamilia kama kawaida.
List ni ndefu yuko wapi Jerry MuroAlikuwa katibu mkuu wa CCM kipindi cha Magufuli.
Yuko wapi?
Hangaya amemnyamazisha na kumtuliza.
Lkn twende nyuma na turudi nyuma, maono ya Bashiru kuwa huyu mama hafai kuwa rais yalikuwa sahihi.
Jiwe hakufaa hata kwa ngazi ya Kijiji.Magufuli ndie aliefaa?