Hivi hapa ndio lilikuwa sakata la vyeti feki?Mambo yamekwama
View attachment 1810455
Alienda kwa Mwingira, jambazi mwenzake. Alienda kulalamika kuwa anapigwa vita sababu anapambana na mashogaHivi hapa ndio lilikuwa sakata la vyeti feki?
Na Salimu Mwalimu hivi yuko wapi? Ahahahahahaha!!!Polepole alimlisha matangopori na mwendazake akamjaza ahadi hewa.
Hili jamaa zoba sanaMambo yamekwama
View attachment 1810455
Salim Mwalimu hata jana nimemuona kwenye oparation ya chadema digital akihutubia wanachama.Na Salimu Mwalimu hivi yuko wapi? Ahahahahahaha!!!
Sio Dokta wa Binadamu Bali ni PhD holderHuyu ndugu yetu kipindi cha jiwe alimkimbia Mbowe, akaelekea Kawe kuomba ridhaa ya CCM akapigwa chembe la kidevu na Gwajiboy.
Baadaye jiwe sijui alikuwa na mpango gani nae, nikaona kampiga kimya. Sijamsikia huyu Dkt. wa binadamu au atakuwa kaamua kurudi kwenye tiba huko kulikojengwa mashine ya nyungu ambayo Kigwaboy alitaka ipasuliwe?
Yu wapi Mashinji?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kwanini wanalichelewesha!Hili jamaa zoba sana
Ahahahahahaha!Salim Mwalimu hata jana nimemuona kwenye oparation ya chadema digital akihutubia wanachama.
Alienda kwa Mwingira, jambazi mwenzake. Alienda kulalamika kuwa anapigwa vita sababu anapambana na mashoga
Hata ukuu wa tarafa hapati.Yupo amejipumzikia...