Amekatwa mkia.Huyu ndugu yetu kipindi cha jiwe alimkimbia Mbowe, akaelekea Kawe kuomba ridhaa ya CCM akapigwa chembe la kidevu na Gwajiboy.
Baadaye jiwe sijui alikuwa na mpango gani nae, nikaona kampiga kimya. Sijamsikia huyu Dkt. wa binadamu au atakuwa kaamua kurudi kwenye tiba huko kulikojengwa mashine ya nyungu ambayo Kigwaboy alitaka ipasuliwe?
Yu wapi Mashinji?
Sent using Jamii Forums mobile app
Atajijua mwenyewe .....bali ni condom ikitumika hutupwaSio Dokta wa Binadamu Bali ni PhD holder
Mwendazake udongoni tunasikia alimwingiza kitengo desk la siasaYupo Ilula analima nyanya
Wacha lipambane na hali yake mura!Polepole alimlisha matangopori
Punguza ushamba, mbona maprof bado wapo?? profesa Safari na Baregu.Dr slaa na dr mkumbo waliondoka chadema, sa ulitaka dr mashinji abaki huko kufanya nini wakati madr wenzake walisepa mapema?
Usiseme wapo, sema wapo wapo! Tena kama mapambo vile. Wote hao ni wastaafu, mashinji bado kijana na active!Punguza ushamba, mbona maprof bado wapo?? profesa Safari na Baregu.
Tena?Atakuwa yuko nje ya nchi anaongeza elimu
Unaumwaaaa!Sio Dokta wa Binadamu Bali ni PhD holder
Ni dk wa binadam ndio professional yake.sipendi watu mnacoment kitu usichokijuaSio Dokta wa Binadamu Bali ni PhD holder
Yupo anasubiri uteuzi wa DC, DAS au DEDHuyu ndugu yetu kipindi cha jiwe ali
Hatari snSalim Mwalimu hata jana nimemuona kwenye oparation ya chadema digital akihutubia wanachama.
Yupo Mitaani Mwendazake Alimdanganya stamps UBALOZIHuyu ndugu yetu kipindi cha jiwe alimkimbia Mbowe, akaelekea Kawe kuomba ridhaa ya CCM akapigwa chembe la kidevu na Gwajiboy.
Baadaye jiwe sijui alikuwa na mpango gani nae, nikaona kampiga kimya. Sijamsikia huyu Dkt. wa binadamu au atakuwa kaamua kurudi kwenye tiba huko kulikojengwa mashine ya nyungu ambayo Kigwaboy alitaka ipasuliwe?
Yu wapi Mashinji?
List ni ndefu utazani nao walikufa![emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Huyu ndugu yetu kipindi cha jiwe alimkimbia Mbowe, akaelekea Kawe kuomba ridhaa ya CCM akapigwa chembe la kidevu na Gwajiboy.
Baadaye jiwe sijui alikuwa na mpango gani nae, nikaona kampiga kimya. Sijamsikia huyu Dkt. wa binadamu au atakuwa kaamua kurudi kwenye tiba huko kulikojengwa mashine ya nyungu ambayo Kigwaboy alitaka ipasuliwe?
Yu wapi Mashinji?