Yuko wapi Dkt. Vincent Mashinji?

Amekatwa mkia.
 
Dr. Mashiji umekuja kujiazishia uzi ili ukumbukwe?
Usihofu utapewa ukuu wa wilaya.
 
Atakuwa yuko nje ya nchi anaongeza elimu
Tena?
Hiyo itakuwa digrii ya ngapi, kumi?

Huyo jamaa ni 'typical' ya watu watafuta maslahi . Anatandaza nyavu hata pasipo na maji akitegemea atanasa samaki!
 
Alipewa ahadi hewa na dhalim,sasa dhalim hayupo duniani amebaki kujutia usaliti wake.
 
Huyyo chawa baada ya meko kuvuta naona katupwa pembeni
 
Yupo Mitaani Mwendazake Alimdanganya stamps UBALOZI
 
List ni ndefu utazani nao walikufa![emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…