Yuko wapi Dkt. Vincent Mashinji?

Katiba ya Nchi inasemaje? Who are you? Una rakua nini? Zittokabwe siku hizi simuonioni ungeni, wala TLS, wala WB,mbona huuluzi? He is a free citizen unamtakia nini? Kuna Netanyahu na Abdallah "King" Kibadeni, na Ali Issa, wako wapi mbona huulizi?
 
Alikuwa kwaa ajili ya matumizi ya mara moja tu (For single use only) atakuwa choo.ni maana ndo zinakotupwa toileti pepa na kyondom zilotumika.
 
This is demotion and demonization. Chadema alikuwa analamba 7M per moon, Sasa anaenda kupewa 4.6M per moon na masimango juu.
Hivi kumbe aliondoka chadema akiwa bado katibu mkuu? Au alikuwa anapata hiyo 7m kama k/m mstaafu?
 
Analinda kabur
 
Hahaaaa
 
Aisee. Kumbe mtu anaweza kukuharibia C.V kwa vijipesa kidogo tu vya rushwa.

The guy is now a spent force.
 
Si alipata teuzi, ni mkuu wa wilaya
Boss. Cheki vizuri rekodi zako. Yule jamaa sio mkuu wa wilaya. Na hata angepewa ukuu wa wilaya asingekubali. From top top Chadema kwenda kuishi vijijini hata magazeti hayafiki
 
Nimempata akiwa DC Serengeti...amefichwa huko anakuja anachopata....
 
Boss. Cheki vizuri rekodi zako. Yule jamaa sio mkuu wa wilaya. Na hata angepewa ukuu wa wilaya asingekubali. From top top Chadema kwenda kuishi vijijini hata magazeti hayafiki
Umenikumbusha yule ndugu yake Magufuli aliyekuwa ameifanya UVCCM kama mali yake alivyopoa siku hizi. Nadhani alipewa u-DC na huo ni mashaka matupu kwani siku yoyote unaweza kuondolewa.
 
Boss. Cheki vizuri rekodi zako. Yule jamaa sio mkuu wa wilaya. Na hata angepewa ukuu wa wilaya asingekubali. From top top Chadema kwenda kuishi vijijini hata magazeti hayafiki
Umejiunga lini jf? Mwezi wa 6 tu hadi Leo unasahau? Nchi ngumu sana
Mashinji ni mkuu wa wilaya ya Serengeti
Uteuzi huo hapo
 
Umenikumbusha yule ndugu yake Magufuli aliyekuwa ameifanya UVCCM kama mali yake alivyopoa siku hizi. Nadhani alipewa u-DC na huo ni mashaka matupu kwani siku yoyote unaweza kuondolewa.
Mashinji alikuwa hajapata teuzi yoyote, mama Samia ndio akaja kumteua kuwa mkuu wa wilaya ya serengeti
 
Ameshakuwa kiroboto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…