fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Asa Enock wa nini!??😂🤣
Leo amesikika bungeni DodomaNi mkurugenzi wa mahusiano pale bandarini
Siyo kweliYupo TBC Nadhani Ni Mhariri Wa Habari Za Michezo
Pia Anatangaza Kipindi Cha TPA Upande Wa Radio Hivyo Anakwenda Tanga,Dar Es Salaam Mtwara, Mwanza, Kigoma, Ruvuma
Kote Huko Anaandaa Kipindi Cha Bandari
Siyo kweli, ni afisa tu uhusiano na habariNi mkurugenzi wa mahusiano pale bandarini
Siyo kweliNi afisa habari sijui kwenye taaasisi gani vile...nilimuona tbc anatangazia hilo shirika sijui la nyumba...
Kanenepa hatari
Unabisha wakti kila siku namuona na leo nimetoka kumtizamaSiyo kweli, ni afisa tu uhusiano na habari
Sasa ndugu yangu, wewe unayemwona kwenye TV ndo unajua au mimi ninayefanya naye kazi ndo najua?Unabisha wakti kila siku namuona na leo nimetoka kumtizama
Sawa mkuuSasa ndugu yangu, wewe unayemwona kwenye TV ndo unajua au mimi ninayefanya naye kazi ndo najua?
Si ndo utwambie??Sasa ndugu yangu, wewe unayemwona kwenye TV ndo unajua au mimi ninayefanya naye kazi ndo najua?
Nilishamwambia huyo aloniuliza swaliSi ndo utwambie??