Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Mkuu Kalulu, Kalulumila the Great, acha kuleta ujuha kalulu hapa!. Nafasi zote uteuzi ambazo mtu haombi kazi, mteuzi ana uhuru wa kumteua mtu yoyote kwa sababu yoyote, au bila sababu yoyote na uteuzi huu hauhojiwi na mamlaka yoyote!. Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!Baba yake alifanya kazi na hayati Nyanza Coop Ltd na hapa ndio ikawa mwanya ww upendeleo.
Mleta uzi ana bifu nae huyo aliekuwa mteuliwa wa Magufuli,huenda hata ni jirani yake hapo mtaani kwakeMkuu Kalulu, Kalulumila the Great, ucha kuleta ujuha kalulu!. Nafasi zote uteuzi ambazo mtu haombi kazi, mteuzi ana uhuru wa kumteua mtu yoyote kwa sababu yoyote, au bila sababu yoyote na uteuzi huu hauhojiwi na mamlaka yoyote!. Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!
Kwa wale wasiomjua mtajwa, ni msomi wa hali ya juu na mhitimu wa sheria LL.B, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, hivyo ni mtu mwenye sifa za ziada kuliko hata
u DC!, hivyo mtu kama ana sifa hadi za ziada, huo upendeleo ni upendeleo gani?. Angekuwa hana sifa, akateuliwa hapo ungèjustify upendeleo, lakini mtu ana sifa, ulitaka ateuliwe nani?.
P
TunahitajiMkuu Kalulu, Kalulumila the Great, ucha kuleta ujuha kalulu!. Nafasi zote uteuzi ambazo mtu haombi kazi, mteuzi ana uhuru wa kumteua mtu yoyote kwa sababu yoyote, au bila sababu yoyote na uteuzi huu hauhojiwi na mamlaka yoyote!. Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!
Kwa wale wasiomjua mtajwa, ni msomi wa hali ya juu na mhitimu wa sheria LL.B, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, hivyo ni mtu mwenye sifa za ziada kuliko hata
u DC!, hivyo mtu kama ana sifa hadi za ziada, huo upendeleo ni upendeleo gani?. Angekuwa hana sifa, akateuliwa hapo ungèjustify upendeleo, lakini mtu ana sifa, ulitaka ateuliwe nani?.
P
Kiongozi ni mtu mwenye madaraka kwenye jamii. Kuwa na degree sio sababu ya kuteuana kisa tu mlifanya kazi Nyanza CoopMkuu Kalulu, Kalulumila the Great, ucha kuleta ujuha kalulu!. Nafasi zote uteuzi ambazo mtu haombi kazi, mteuzi ana uhuru wa kumteua mtu yoyote kwa sababu yoyote, au bila sababu yoyote na uteuzi huu hauhojiwi na mamlaka yoyote!. Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!
Kwa wale wasiomjua mtajwa, ni msomi wa hali ya juu na mhitimu wa sheria LL.B, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, hivyo ni mtu mwenye sifa za ziada kuliko hata
u DC!, hivyo mtu kama ana sifa hadi za ziada, huo upendeleo ni upendeleo gani?. Angekuwa hana sifa, akateuliwa hapo ungèjustify upendeleo, lakini mtu ana sifa, ulitaka ateuliwe nani?.
P
Hebu vaa viatu vyake, baba is a friend, mtoto kichwa, kasoma shule nzuri, chuo kizuri, fani nzuri, kama ana sifa zote za kuteuliwa nisimteue kwasababu namjua baba yake?. Jee unajua kwanini Karume baba akaja Karume mtoto?, Kenyatta na Uhuru, Mzee Rukhsa na Dr. Mwinyi, Loraa Kabila na Joseph Kabila, subiri zamu ya Riz, ndio utaelewa!, huu tuuiteje?.Kiongozi ni mtu mwenye madaraka kwenye jamii. Kuwa na degree sio sababu ya kuteuana kisa tu mlifanya kazi Nyanza Coop
Pongoja obu hwahwa nyanda ni ubu romo romo ulingosha Ute nkema ubebe.Mkuu Kalulu, Kalulumila the Great, acha kuleta ujuha kalulu hapa!. Nafasi zote uteuzi ambazo mtu haombi kazi, mteuzi ana uhuru wa kumteua mtu yoyote kwa sababu yoyote, au bila sababu yoyote na uteuzi huu hauhojiwi na mamlaka yoyote!. Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!
Kwa wale wasiomjua mtajwa, ni msomi wa hali ya juu na mhitimu wa sheria LL.B, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, hivyo ni mtu mwenye sifa za ziada kuliko hata
u DC!, hivyo mtu kama ana sifa hadi za ziada, huo upendeleo ni upendeleo gani?. Angekuwa hana sifa, akateuliwa hapo ungèjustify upendeleo, lakini mtu ana sifa, ulitaka ateuliwe nani?.
P
Kwa akili yako timamu. Huyu dogo anafaa kuwa kiongozi? Usituletee umwinyiHebu vaa viatu vyake, baba is a friend, mtoto kichwa, kasoma shule nzuri, chuo kizuri, fani nzuri, kama ana sifa zote za kuteuliwa nisimteue kwasababu namjua baba yake?. Jee unajua kwanini Karume baba akaja Karume mtoto?, Kenyatta na Uhuru, Mzee Rukhsa na Dr. Mwinyi, Loraa Kabila na Joseph Kabila, subiri zamu ya Riz, ndio utaelewa!, huu tuuiteje?.
P
AhaaaaPongoja obu hwahwa nyanda ni ubu romo romo ulingosha Ute nkema ubebe.
Katiba ya kijinga kabisa, kwahiyo anaweza kuteua hata kichaaMkuu Kalulu, Kalulumila the Great, acha kuleta ujuha kalulu hapa!. Nafasi zote uteuzi ambazo mtu haombi kazi, mteuzi ana uhuru wa kumteua mtu yoyote kwa sababu yoyote, au bila sababu yoyote na uteuzi huu hauhojiwi na mamlaka yoyote!. Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!
Kwa wale wasiomjua mtajwa, ni msomi wa hali ya juu na mhitimu wa sheria LL.B, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, hivyo ni mtu mwenye sifa za ziada kuliko hata
u DC!, hivyo mtu kama ana sifa hadi za ziada, huo upendeleo ni upendeleo gani?. Angekuwa hana sifa, akateuliwa hapo ungèjustify upendeleo, lakini mtu ana sifa, ulitaka ateuliwe nani?.
P
Hilo ndio lilikuwa tatizo la kubwa kudhalilisha Watumishi hadharani bila kufuata utaratibu wa kiutumishiMara ya mwisho ,nilisikia alikuwa na kesi,kuna kijana kwa Jina Alex ,mfanyakazi wa Mamlaka ya Maji Tabora,alimfungulia kesi ya Madai,kwa kumdhalilisha akiwa DC
Hatumuoni kwenye majukwaa ya CCM akirap.
Baba yake alifanya kazi na hayati Nyanza Coop Ltd na hapa ndio ikawa mwanya wa upendeleo.
Alichukiww na wanaunyanyembe sana. Hasa waswezi wa unyanyembe kwa dharau zake
Ndo atajua hajui yaaniHebu vaa viatu vyake, baba is a friend, mtoto kichwa, kasoma shule nzuri, chuo kizuri, fani nzuri, kama ana sifa zote za kuteuliwa nisimteue kwasababu namjua baba yake?. Jee unajua kwanini Karume baba akaja Karume mtoto?, Kenyatta na Uhuru, Mzee Rukhsa na Dr. Mwinyi, Loraa Kabila na Joseph Kabila, subiri zamu ya Riz, ndio utaelewa!, huu tuuiteje?.
P
Kero zake???Yule jamaa alikuwa zero. Angeendelea kukaa Tabora wangemshughulikia wananchi Bora alivytumbuliwa.
Mbumbumbu mwenye degree ya sheriaKero zake???