Johnson Fundi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 1,386
- 1,207
labda umekua hivi karibuni, fideline iranga hukumsikia??!!?? muulize zamaradiDar gani aliyoitikisa? Acha kuiletea mazoea Dar es salaam.
Yuko china.na NYAMAYAO yuko wapi
Picha ya kwanza kabisa mixer kama ana undugu na Mpoki wa The Komedi.
na NYAMAYAO yuko wapi
Umekuja Lini Dzm??Dar gani aliyoitikisa? Acha kuiletea mazoea Dar es salaam.
Umekuja Lini Dzm??
Huyu alikuwa china kuna kipindi alifanya kazi na star times kutafsiri muvi za kichina, mi nataka kujua alipo mbuta nanga mamaa michupi mikubwa ya kumtosha le mutuzna NYAMAYAO yuko wapi
Enzi zake ulikua kwenu Kolomoje huko!Dar gani aliyoitikisa? Acha kuiletea mazoea Dar es salaam.
Umezaliwa mwaka gani kijana?Dar gani aliyoitikisa? Acha kuiletea mazoea Dar es salaam.
Kama Dar ilitikiswa na huyu akija huyu hapa itakuaje[emoji116]
Enzi zake ulikua kwenu Kolomoje huko!
Umezaliwa mwaka gani kijana?