Yuko wapi flani? Tutafutane Mkuu

Azarel

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
28,916
Reaction score
40,479
Habarini Wadau,

◆ Yawezekana katika maisha yako tangu kuzaliwa, kuanza chekechea, primary, secondary, chuo au katika pilika za maisha ulipotezana na jamaa ama rafiki yako wa karibu.

◆ Tutumie fursa hii kutaja jina lake na kuuliza alipo.

◆ Huenda ni member wa hapa jamvini ila hujui au kuna aliye naye karibu.

→ Mimi nawaulizia watu wawili ambao ni:-

1) Dorothea Palangyo - alisoma Aldersgate babati 2005-2006

2) Daniel Warae Petro, aliishi Arusha 1998-2000

Popote walipo tuwasiliane pls.
 
Ntarud akiwepo wa kuntafuta kwa sasa sina
 
Demu wangu wa chuo neema popote ulipo nakutumia dedication ya wimbo dume suruali
 
Membaz wa AZA-JANGWA na TAMBA-ZANA way back enzi za late John Puzza popote mliko.
 
Mh! Kuna kiharufu fulani hapa.kutaja majina halisi yahitaji moyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…