yuko wapi Frank Mtao??

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
habari zenu wadau. Leo nimemkumbuka Frank Mtao mtangazaji aliyejipatia umaarufu kweny kipindi cha Nani ni Nani, ktk channel Ten. Ni muda mrefu umepita bila kumsikia..mwenye taarifa atujuze. Ahsanteni
 
Dah sina taarifa zake labda wadau wengine
 
Alihamia Japan baadae Australia ndiko anakoishi sasa. Ameoa, ana mke na mtoto. Mwaka jana alirudi Tz kusalimia.

Yeye na Anwaar Said ndio walikuwa wamiliki wa 2eyes Production ya mwanzo ya video za Bongo Fleva!.

thanx mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…