Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
mimi ni jooooji maratoooom jiraniiiii yenuuuuuuuuš hapo anajitambulisha mlangoni kwa mtu baada ya kuulizwa yeye naniKwamba hata akiongea na majirani anaongea kwa "Tune" ile ile tunayoisikia kwenye tv? š¤£
Yule ni Reinfred MasakoSi anaigiza bongo movie sikuhizi[emoji28] au yule anaeonekana DSTV kwenye tamthilia ni clone?
Mwasisi wa mbwembwe kuripoti habari alikuwa Ben Kiko kutoka Tabora enzi za RTD. Wahenga watakuwa wanamkumbuka.
Si anaigiza bongo movie sikuhiziš au yule anaeonekana DSTV kwenye tamthilia ni clone?
Sahihi[emoji23]Hapo mara anawekaga M mwisho yani MARAAAAAAAAAAM
Mtonyo Umetokea Tundu Lolote Lililo WaziInasikitisha sana kula MTONYO wa MOTO.
Hapo mara anawekaga M mwisho yani MARAAAAAAAAAAM
Kulikuwa pia na Michael Katembo,nadhani ndio alikuwa anaongoza kwa mbwembwe na alikuwa anazijulia.Mwasisi wa mbwembwe kuripoti habari alikuwa Ben Kiko kutoka Tabora enzi za RTD. Wahenga watakuwa wanamkumbuka.
Huyo Mahela Mchele Bokoboko Yupo Kituo Cha TbcNa yule Sam Mahela ambaye wanasema yaliyomo yamo yupo wapi nae siku hizi.
Anapenda sana pesa na ni mtu asiyependa kusaidia wengine.Yupo musoma huyo ni meneja wa shule fulani kwa sasa ila rushwa ilimuharibia pale ITV
Yeah BEN KIKOMwasisi wa mbwembwe kuripoti habari alikuwa Ben Kiko kutoka Tabora enzi za RTD. Wahenga watakuwa wanamkumbuka.
Yupo musoma,anakigroseri chake na kujihudisha na ccmSalaam wakuu
Ni muda mrefu sijamsikia yule reporter wa itv mwenye swaga zake George Malatu mwenye taarifa zake anijuze
jooooooooooji maratuuuuuuuuuu aitiviiiiiiiiii maraaaaaaaaaaaaaa