ESCORT 1
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 1,412
- 3,043
Huyu bwana alikuwa ni mpiga picha mwandamizi katika awamu za 4&5 mtawalia.
Ila kwasasa kwenye awamu hii ya 6 haonekani katika majukumu ya kumpiga picha Rais wa awamu ya 6, ndio kusema ameshastaafu au amepangiwa majukumu mengine?
Njooni mtujuze, afu naskia jamaa ni kipepeo mweusi?
Ila kwasasa kwenye awamu hii ya 6 haonekani katika majukumu ya kumpiga picha Rais wa awamu ya 6, ndio kusema ameshastaafu au amepangiwa majukumu mengine?
Njooni mtujuze, afu naskia jamaa ni kipepeo mweusi?