Achaga roho mbayaNdg wadau, YUPO WAPI aliekua DC machachari ikungi bwana Jerry MURO. Nakumbuka kijana huyu aliyavaa madaraka mpaka akasahau kwamba cheo ni dhamana tu.
Leo hii kapotea kabisa Wala hasikiki, si ni Bora angebakia msemaji wa Yanga kipaji CHAKE kingekua na asingalipotea kirahisi hivi.
Laana si kitu kidogoNdg wadau, YUPO WAPI aliekua DC machachari ikungi bwana Jerry MURO. Nakumbuka kijana huyu aliyavaa madaraka mpaka akasahau kwamba cheo ni dhamana tu.
Leo hii kapotea kabisa Wala hasikiki, si ni Bora angebakia msemaji wa Yanga kipaji CHAKE kingekua na asingalipotea kirahisi hivi.
Mange anamuanika hukoMsemaji mteule wa DP
Vipi kateuliwa u katibu mkuu?Katibu Mkuu Mteule
Anasafirisha nnYupo anakampuni yake ya usafirishaji..........
Bado anaishi goba?jerry muro tapeli sana anakuja dukani mwako anachukua vitu na mda ukiomba pesa anakutishia cheo chake.hii tabia sijui magu alitoa wapi watu hawa sampuli