N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Huyu jamaa ni gwiji la live gospel music. Vipi mbona hafanyi tena matamasha ya live recording, mwambieni arudi stejini.
Ushauri: afanye collaboration ya live recording na Krystals wale wa Canada. We need some serious Kiswahili live recording album.
Pia soma: SI KWELI - Mwimbaji wa Nyimbo za Injili, Bonny Mwaitege afariki dunia katika ajali ya barabarani