Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ohoooooo!!!Kada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
HeheheJuzi kati alikuja kujiulizia kwa ID nyingine baada ya kumshitikia akatoka nduki😃
Kada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence mojaSina cha kuzuga hapa.. Tuhakikishieni usalama wake
Haya tujibu sasaKada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
Kada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence mojaHaya tujibu sasa
Hayo nimeandika Mimi kwenye mada kuu na kamwe siwezi kuyakana maandishi yangu... Unaruhusiwa kuyanakili na kunipa credit ukipenda lakini si kuyafanya yako.. Sijui kama unalijua hiloKada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. kwa mujibu wa mshana jr
Chama CHAWALAKada wa chama chawala.
Siyo yangu kuna mwenyewe mwenye haki miliki ya hayo maandishi!Chama CHAWALA
Nimeipenda hiyo!
alipata teuzi saahv yuko pakistan ambassadorKada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
Chama Chawala/TwawalaChama CHAWALA
Nimeipenda hiyo!
Kwao siyo Iringa, kwao ni Useri, Rombo.Yupo kwao iringa anagema ulanzi
Kumbe hata chadema mnatoa michongo? Mie nilikuwa sijui, ndo najua sasa hivi !Namjua yule, ID moja CCM nyingine CHADEMA. kwikwi... anavuta mchongo kote kote
Labda enzi za Mwamba.Kumbe hata chadema mnatoa michongo? Mie nilikuwa sijui, ndo najua sasa hivi !
Kaibiwa infinix yake 🤣🤣 (joke)Kada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?