Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Kimyaaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni mwanaccm mwenzio mtafute haraka
We ni mpuuzi.Huyo ni mwanaccm mwenzio mtafute haraka
Sasa ulifikiri ukijibandika jina la kamanda ndio hutajulikana kuwa wewe ni Lumumba fc?We ni mpuuzi.
Huyo sio mabendera anaitwa Ninjaaa . Sawa Kamanda ?
Pole jiwe limefika penyeweWe ni mpuuzi.
anakula mafao yake na kucheza na wjuu zke alioletewa na na mwanaye LILIAN
Zile suti zake sidhani kama anaendelea kuzivaa.Mzee wa kutembea na ilani ya chama popote pale.
mauno bado anakata kama yotee? na watoto wa vyuo hapo bunda?Anatoza pesa za kiingilio lwenye clubs zake hapo mjini bunda.
Na anaishi kwenye moja ya hoteli zake hapohapo mjini bunda.
mungu wake alishaa kufa bado anamawazo ya kutosha
Yupo mwanza anasimamia hoteli yake igoma inaitwa taiwan
Hahaha yule alikuwa kituko kwelikweli yaani ameshindwa kupitia ilani akiwa ofsini na kujua leo anaenda wapi? Kufanya nn ma ipo sehemu gani ya ilaniMzee wa kutembea na ilani ya chama popote pale.
Kwani ilani ni msaafu mpaka ukariri mistari?Hahaha yule alikuwa kituko kwelikweli yaani ameshindwa kupitia ilani akiwa ofsini na kujua leo anaenda wapi? Kufanya nn ma ipo sehemu gani ya ilani
MASWALI MENGINE MUULIZANE HUKO HUKO CCM