Yuko wapi Lizaboni, Chiss Lukosi, Mussa Allan.

Kuna mmoja hapo huwa namuona fb anauza matakataka ya ulaya kwa mnada.
wakati ule alikuwa anapitisha matakataka yake bila ya kulipa kodi sasa kabanwa kaacha kabisa kuongea.Naongelea yule nyumbu mwenzetu!
 
Hamna kitu, Ritz wa JF choka mbaya tu hana uhusiano wowote na Sultani wa Msoga.

Kukosekana kwake humu ni kasi ya awamu ya tano imelala nao mbele hata pesa ya bundle la chuo ni shida, hata kile kibibi Faiza Foxy nacho hali tete.
Mkuu bana eti
Faiza foxy
 
Awamu ya tano imelala nao mbele, JF hawagawi ugali.

Iga kushinda JF ulale na njaa wakati wenzako wananenepa tu.
Jamaa yako zomba alipotelea wapi, bado nakumbuka thread yenu ya malumbano ya hoja...
 
Elizabeth Boniface aka Lisbon ndio aliyepewa cheo juzi naibu waziri wa mwakyembe

So msiseme wako wapi wako kwenye majukumu ya bwana wao
 
Elizabeth Boniface aka Lisbon ndio aliyepewa cheo juzi naibu waziri wa mwakyembe

So msiseme wako wapi wako kwenye majukumu ya bwana wao
Hahahahahahahaaaaaa. Nimeanza kupigania chama wakati Juliana akiwa CHADEMA
 
Lizaboni kumbe yupo hai ni suala la vyuma kukaza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…