Somoche JF-Expert Member Joined Oct 6, 2010 Posts 6,795 Reaction score 9,143 Mar 15, 2012 #1 Wakuu naomba kuuliza nani mwenye Taarifa za Mtangazaji wa BBC anaitwa Lubunga Biyaombe? jamaa alikua anatangaza kutokea kule D.R.C..
Wakuu naomba kuuliza nani mwenye Taarifa za Mtangazaji wa BBC anaitwa Lubunga Biyaombe? jamaa alikua anatangaza kutokea kule D.R.C..
mka JF-Expert Member Joined Nov 14, 2010 Posts 318 Reaction score 82 Mar 15, 2012 #2 Mkuu hata mimi kwa muda mrefu sijamsikia Bwana Biyahombe, alikuwa anaongea kiswahili safi sana akiripoti kutoka Kinshasa.
Mkuu hata mimi kwa muda mrefu sijamsikia Bwana Biyahombe, alikuwa anaongea kiswahili safi sana akiripoti kutoka Kinshasa.
Somoche JF-Expert Member Joined Oct 6, 2010 Posts 6,795 Reaction score 9,143 Mar 15, 2012 Thread starter #3 Kwa kweli namisi kile kiswahili cha Lubunga sijui jamaa wamemtimua ama la mwenye taarifa tafadhali!!!
Kwa kweli namisi kile kiswahili cha Lubunga sijui jamaa wamemtimua ama la mwenye taarifa tafadhali!!!
CHAI CHUNGU JF-Expert Member Joined Feb 20, 2012 Posts 7,113 Reaction score 933 Mar 15, 2012 #4 Anapiga kitabu london!
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,258 Mar 16, 2012 #5 dah mkuu umenikumbusha huyu jamaa,mahiri kwelikweli
O OgwaluMapesa JF-Expert Member Joined May 24, 2008 Posts 10,942 Reaction score 434 Mar 16, 2012 #6 mka said: Mkuu hata mimi kwa muda mrefu sijamsikia Bwana Biyahombe, alikuwa anaongea kiswahili safi sana akiripoti kutoka Kinshasa. Click to expand... na kuna mwingine alikuwa anaitwa mike rareng' kutoka Kampala
mka said: Mkuu hata mimi kwa muda mrefu sijamsikia Bwana Biyahombe, alikuwa anaongea kiswahili safi sana akiripoti kutoka Kinshasa. Click to expand... na kuna mwingine alikuwa anaitwa mike rareng' kutoka Kampala