GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sawa tangia uende Ziara yako kule Singapore Watanzania hatujapata Taarifa yoyote ile ya Urejeo wako nchini halafu Siku hizi wanaosikika mno ni #1 na #3 tu na Wewe #2 ni kama umeshafunikwa na upo upo tu?Nipo mkuu napiga kazi kimya kimya.
Kazi iendelee 😂😂😂
Kama Mtani wangu Muha yuko basi ni Faraja kubwa sana Kwangu Mkuu. Tafadhali Mkuu kama una Picha zake zozote labda za katika hilo Kongamano la Zoom la Jana hebu niwekee hapa ili nimuone tu na niridhike kwani nilishaanza Kuogopa na Kuikumbuka Hospitali moja hivi Makumbusho Dar es Salaam.Jana alikua ana zindua kongamano la usawa wa kijinsia kupitia zoom
Acha Bange / Bangi Wewe Watani zangu Waha huwa hawaugui hovyo hovyo.Anaumwa Corona
kutoka kwa 'Washamba' Mkoani Kigoma.
Kama kumuulizia Mtu (tena Kiongozi wangu Makamu wa Rais) ni Upumbavu (Foolishness) basi sawa ila kwakuwa Wewe ni Mwerevu (Einstein) nitashukuru ukiniambia tu alipo Mtani wangu wa Kiha Makamu wa Rais Dk. Philip Isidori Mpango.Foolishness
Nakumbuka mwendazake alimtoa hospitalini ili aongee kuthibitisha yuko salama. Mzee alikohoa mpaka akatia huruma...Anaumwa Corona
Ni habari niliiona kwenye chombo kikubwa sikumbuki ni kipi ngoja niisakeKama Mtani wangu Muha yuko basi ni Faraja kubwa sana Kwangu Mkuu. Tafadhali Mkuu kama una Picha zake zozote labda za katika hilo Kongamano la Zoom la Jana hebu niwekee hapa ili nimuone tu na niridhike kwani nilishaanza Kuogopa na Kuikumbuka Hospitali moja hivi Makumbusho Dar es Salaam.
Na 'Washamba' wengine nje ya Waha ( Kigoma ) ni Wahaya ( Kagera ), Wanyiramba na Wanyaturu ( Singida ), Warangi ( Dodoma ), Wanyamwezi ( Tabora ) na Wakara ( Ukerewe Mwanza )Ukome na ulegee 🤣🤣,----Kigoma ni nchi wala sio mkoa.
Kuna 'nyepe nyepe' moja imenipitia 'Usingizini' mwangu sasa sijui nilikuwa naota tu masikini ya Mungu!!!!Nakumbuka mwendazake alimtoa hospitalini ili aongee kuthibitisha yuko salama. Mzee alikohoa mpaka akatia huruma...
Mungu aepushie mbali kikombe hiki. AminaKuna 'nyepe nyepe' moja imenipitia 'Usingizini' mwangu sasa sijui nilikuwa naota tu masikini ya Mungu!!!!
Mkuu wangu kumbuka kwamba Makamu wa rais ni ceremonial zaidi kuliko utendaji.Sawa tangia uende Ziara yako kule Singapore Watanzania hatujapata Taarifa yoyote ile ya Urejeo wako nchini halafu Siku hizi wanaosikika mno ni #1 na #3 tu na Wewe #2 ni kama umeshafunikwa na upo upo tu?
Huwezi jua kale kadudu ka 19 si wamesema kamerudi kwa staili mpya? Unaweza kukuta kameshatenda miujiza...Kuna 'nyepe nyepe' moja imenipitia 'Usingizini' mwangu sasa sijui nilikuwa naota tu masikini ya Mungu!!!!
Mheshimiwa ile saa unayovaaga kubwa kubwa hivi huwa ni kali sana.Nipo mkuu napiga kazi kimya kimya.
Kazi iendelee [emoji23][emoji23][emoji23]
Jiwe bhana..Nakumbuka mwendazake alimtoa hospitalini ili aongee kuthibitisha yuko salama. Mzee alikohoa mpaka akatia huruma...
Hivi nyie Washamba Waha Watani zangu si mpo wengi tu hapa JamiiForums? Hebu niambieni upesi Mzanaki Mimi aliko Ndugu yenu Makamu wa Rais Dk. Philip Isidori Mpango tafadhali.Ni habari niliiona kwenye chombo kikubwa sikumbuki ni kipi ngoja niisake