Yuko wapi Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango?

Tena wamakonde ni wanafiki sana, staki kabisa hata ukaribu nao, ndo hao hao akina harmonize
Kuna jamaa yangu waliuza nyumba ya urithi wakagawana pesa fresh. Jamaa akaonja mwanamke wa kimakonde. Eh bwana we. Jamaa alihamia kwa huyu mwanamke huku kaacha mke wake na watoto 4 mita hamsini tu toka kwake. Tulifanya kila juhudi anatusikiliza lkn akitoka kwenye kikao break ya kwanza kwa mmakonde Hadi hela zote zilipoisha mmakonde kamtupia nguo zake nje.
Yupo mwingine kijana mdogo tu anaduka na mke na watoto.
Utani utani akamuonja mwanamke wa kimakonde mwenye miaka 60 plus. Heh kufumba na kutumbua mapenzi yakanoga mpaka jamaa akajivhanganya wakafunga ndoa ya kiislam. Ndugu zake wskachachamaa wakasema hawataki huo ujinga. Mwanamke wa kimakonde akasema haachiki hivi hivi lazima wagawane Mali.Wapambe wa serikali za mitaa wakauliza Kama Kuna ndoa wakaambiwa ipo. Huwezi kuamini nyumba ya jamaa iligawiwa Kati Kati vyumba vitatu huku na vitatu kule mpaka uani. Jamaa kabaki na upande wenye frem ya duka. Ukuta Kati Kati, mpaka hii asubuhi kigagula kinaishi kwenye hiyo nyumba. Hakina mtoto Wala mjukuu Wala ndugu Wala msaidizi. Hakija wahi kuzaa.
 
Hao kwa uchawi ndo wenyewe
Ukijumlisha na viuno wanavyo.
Ndo KABISA
 
Mali za walioko ndani ya ndoa hazigawanywi hivyo kama andazi, ni zile zilizopatikana wakati wa ndoa tu na si kabla.
Kwa kufurahisha baraza sawa.
 
Mali za walioko ndani ya ndoa hazigawanywi hivyo kama andazi, ni zile zilizopatikana wakati wa ndoa tu na si kabla.
Kwa kufurahisha baraza sawa.
Wewe wasema.
Ila ungeiona kamati ya roho mbaya ilivyomkomalia kijana kwa ujinga wake usingesema hivyo.
 
Mali za walioko ndani ya ndoa hazigawanywi hivyo kama andazi, ni zile zilizopatikana wakati wa ndoa tu na si kabla.
Kwa kufurahisha baraza sawa.
Tuulize tunaokaa nao blaza usikatae tu bila kujua... wanawake wanafanya ndoa mtaji kabisa yaani anaolewa anaachika na tena na tena and it's vice versa na ngoma mwendo ni huohuo pasu pasu haijalishi nini wala nini

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Turudi hapa
 
We are all asking the same question - God and time
 
kiongozi, imebidi niplagiarize simulizi kuhusu hii kitu:
.... Obote akampindua Kabaka kwa msaada wa nduli Amin. Amin akapombeka na vijimambo vya madaraka na baadae akajipachika madaraka kwa kumpindua Obote wake. Kwa unyama alosifika nao, sifa za maovu ya mlinzi flani wa geti la kiwanda cha Jinja textile mills wakati ule, zilimfikia nduli Amin. Kwa unduli wake mlinzi yule wa geti akaukwaa usaidizi wa Nduli Amin kwani aliingizwa jeshini na kupandishwa renki kufikia ofisa wa juu, nazani Kanali. Ushenzi alowafanyia Waganda nduli yule ..huyu isaac maliyamungu upo katika historia.
HISTORIA hii kuhusu psychopaths wanapo onjeshwa madraka inafikirisha na kuogofya. Yanasemwa mengi kuhusu mada yako. Natamani isiwe kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…