Yuko wapi Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango?

Unataka kujua alipo Makamu wa Rais, au unaweka mada ya uchambuzi wa uchumi?
 
Kuna wakati VP alijitokeza kwenye ziara zake na kutoa maelekezo/maagizo kwa wateuliwa wa rais, watu waliandika hapa kumparura na kumwambia hana mamlaka yoyote kikatiba ya kutoa maagizo kwa watu ambao hakuwateua yeye. Sasa nashangaa watu wanamlaumu tena na kusema haonekani, sijui wanataka afanye nini kwa nafasi yake!
 
Mtu wa kufoji vyeti atafanya nini? eti Dr, pumbavu kabisa kuharibu titles za watu
 
Makamo wa Rais ni msaidizi wa Rais hivyo anapokea oda kutoka kwa Mkuu wake kisha yeye anatekeleza.

Sijui watu kumbukumbu zimewatoka na hawakumbuki maisha ya JPM na SSH.
 
Nchi hii ya ishenzi ina maajabu, huyu aliingia kwa mbwembwe na matamko kila sekunde, sijui alikuwa na nini kichwani? Covid in tabia ya kuvuruga ubongo, it needs time to stabilize
 
Yuko busy na kundi lao la Axis of Evil linaloongozwa na Mwigulu Nchemba
 
Nimesoma mpaka pale uliposema wananchi waliowapa kura! Hivi wewe unaishi ya au uko ughaibuni.
 
Nilikua natamanj kuandaa makala japo kwa ufupi nipate kueleweka kuelezea haya uliyoyaandika yaani umenipokonya mawazo yangu kwa kiasi kikubwa, B.W Mkapa alifuta kodi ya kichwa na ushuru wa baiskeli miongoni mwa mizigo mingi ambayo aliipunguza kwa wananchi ili upatikane unafuu watu wajijenge, serikali inatakiwa itengeneze mazingira bora watu waondoke kwenye kupigania chakula, mavazi na malazi twende mbali zaidi ndo walete kodi sababu wote watakua na uwezo wasichokijua leo asilimia kubwa bado ni masikini na hatuna uhakika wa kesho serikali imetengeneza bomu kubwa ambalo kuna siku litalipuka hata pachelewe. Hakuna serikali yenye dhuluma ilodumu duniani milele.
 
Inaonekana kuwa kuna na nafasi nyingi za kiuongozi ngazi za juu kuliko kazi zenyewe. Rais, Makamo, Rais Zanzibar Makamo wawili n.k... Kuna umuhimu wa kupunguza safu ya uongozi.
 
Viongozi wengi sasa hivi ambao wapo na mama samia da gama karibu, wanajipanga kuuchukua uraisi 2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…