Jamani nilitaka kuuliza hivi Martin Kolikoli yule kijana aliyekuwa kwenye NBA draft yuko wapi,alienda kucheza NCCA au bado yupo Dar es salaam na anachezea kilabu gani?
Jamani nilitaka kuuliza hivi Martin Kolikoli yule kijana aliyekuwa kwenye NBA draft yuko wapi,alienda kucheza NCCA au bado yupo Dar es salaam na anachezea kilabu gani?