donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Ahahahah msalimieYupo hapa pembeni yangu kalala. Una ujumbe wowote nimpatie?
Wewe sio old skul, Aina Maeda unamkumbuka?Sikuwahi kusikia hilo jina
Imebidi nimgoogle
AahaaaaItakuwa ndio wewe Mbiki Msumi unataka ujue watu kama wanakujua na kukumbuka bado.
Kwa kweli hatujali ulipo sasa hivi focus yetu ipo bandarini. Wewe endelea tu kukaa kimya.
Sio tu simkumbuki...hata hilo jina pia sijawahi kulisikiaWewe sio old skul, Aina Maeda unamkumbuka?
Siyo mhenga wewe.Sio tu simkumbuki...hata hilo jina pia sijawahi kulisikia
Mwambie namsalimuYupo hapa pembeni yangu kalala. Una ujumbe wowote nimpatie?
Asante shangazi msumbaItakuwa ndio wewe Mbiki Msumi unataka ujue watu kama wanakujua na kukumbuka bado.
Kwa kweli hatujali ulipo sasa hivi focus yetu ipo bandarini. Wewe endelea tu kukaa kimya.
Wewe sio wa kitambo [emoji4][emoji4]Sikuwahi kusikia hilo jina
Imebidi nimgoogle
Umeona Eeeh?Kweli JF inakosa jibu la swali hili. Kweli kaamua ku-keep low profile
Ina nini? Ina TV ndani?Sikujizi anatembezewa dudu balaa, tafuta laki 5 tu ujilie usiku kucha.
Classic sana, hutojuta.Ina nini? Ina TV ndani?