Siku hizi hata ME wamo sanaSorry!! Uko n jinsia Gani?
Aje atuambiesinza pazuri ndio anajua yote
Yuko wapi mfanyabiashara na tajiri Hussen Pambakali?
Jamaa alikua na maduka kila kona ya mji, alikua na biashara kila kona alikua tajiri anayemiliki marange na maV8 alikua akitembelea maduka yake na Range
Jamaa alikua na pesa sio poa ulikua ukisikia jina lake basi unajua unazungumzia mtu maarufu na mfanyabiashara mkubwa
Jamaa yuko wapi sikuhizi?Kipindi kile cha Makonda ni miongoni mwa waloitwa Central kwa tuhuma za Unga!
Yuko wapi?Kaishia wapi?
Anafanya large scale ?Hussein Miraj Farouk ndio jina lake kamili by then akiishi Mwananyamala koma koma, alifunga kampuni kama tu ambavyo Sumry alifunga kampuni na kuhamia kwenye kilimo.
Kumbuka , biashara ya nguo ilikuwa zuga tu, huenda kuna biashara zaidi na ndio utaona vijana wengi wa Kino walilzzimika kufunga kazi zao .
Maana wengine wanasema alifilisika.....Hussein Miraj Farouk ndio jina lake kamili by then akiishi Mwananyamala koma koma, alifunga kampuni kama tu ambavyo Sumry alifunga kampuni na kuhamia kwenye kilimo.
Kumbuka , biashara ya nguo ilikuwa zuga tu, huenda kuna biashara zaidi na ndio utaona vijana wengi wa Kino walilzzimika kufunga kazi zao .
Hussein ni mpambanaji.sinza pazuri ndio anajua yote