Yuko wapi Miriam Ikoa

Kelvin X

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2011
Posts
1,940
Reaction score
2,401
wapi huyu mrembo wa miaka ile ya late 90's
 
Macho kama Miriam wa Ikoa unaweza tangaza ndoa-FA
 
Picha mkuu,wengine ilikuwa bado hatujazaliwa/hatujajielewa.
 
Wengine Mziki Kama Shanice,japo wazuri misili ya Kibibi,Miondoko Kama Faudhia,Je ungependa kithethe Kama Radhia? Mie nawaulizia Mademu aliyewataja Mwana FA na Jay Mo kwenye Mimi na Mabinti na Kama unataka Demu mtawalia.
 
Huyu hapa ana duka la nguo kwa sasa japo sijui liko wapi
 
Macho kama Miriam wa Ikoa unaweza tangaza ndoa-FA
SIO KWA SASA AISEE

NAWASHAURI HAWA WASICHANA BADALA YA KUFANYA MAMBO YASIYO NA MAANA NA KUPONDA RAHA WAKATI WA UJANA WAO NA WAKIWA HOT WAWEKEZE NA WAJITAHIDI KUTOKA KIMAISHA


SITAKI MASWALI
 
SIO KWA SASA AISEE

NAWASHAURI HAWA WASICHANA BADALA YA KUFANYA MAMBO YASIYO NA MAANA NA KUPONDA RAHA WAKATI WA UJANA WAO NA WAKIWA HOT WAWEKEZE NA WAJITAHIDI KUTOKA KIMAISHA


SITAKI MASWALI
Unajihami kuulizwa swali.
 
Wapi Mirian Hassan nusu mbongo nusu msomali naenda kwao knyama akinata nageuza Gari.
 
SIO KWA SASA AISEE

NAWASHAURI HAWA WASICHANA BADALA YA KUFANYA MAMBO YASIYO NA MAANA NA KUPONDA RAHA WAKATI WA UJANA WAO NA WAKIWA HOT WAWEKEZE NA WAJITAHIDI KUTOKA KIMAISHA


SITAKI MASWALI
SIO KWA SASA AISEE

NAWASHAURI HAWA WASICHANA BADALA YA KUFANYA MAMBO YASIYO NA MAANA NA KUPONDA RAHA WAKATI WA UJANA WAO NA WAKIWA HOT WAWEKEZE NA WAJITAHIDI KUTOKA KIMAISHA


SITAKI MASWALI
Babu ananusa kaharufu ka wivu kwenye hii post....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…