Yuko wapi Mkuu wa idara ya habari ITV Steven Chuwa?

Philip Dominick

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2013
Posts
1,021
Reaction score
189
Yupo wapi huyu mtu,alikuwaga ni repoter wa itv nina mda cjamsikia,mwenye kujua alipo atujuze.

24 Agosti 2017: Mkuu wa idara ya habari ITV Steven Chuwa (Kulia) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa NMB Ineke Bussemaker alipofika katika ofisi hizo leo kujionea namna ITV/Radio One zinavyofanya kazi zake kwa weledi.
Mkurugenzi huyo ameridhishwa na kazi kubwa ya kuhabarisha Umma inayofanywa na vituo vyetu baada ya kuona uwekezaji uliopo.
 
Mhariri wa Habari ITV hivyo hana nafasi tena ya kuripoti kwani cheo chake ni kikubwa. PIa kwa muda mrefu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari.
 
Mhariri wa Habari ITV hivyo hana nafasi tena ya kuripoti kwani cheo chake ni kikubwa. PIa kwa muda mrefu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari.

Ahsante brother kwa taarifa
 
Mhariri wa Habari ITV hivyo hana nafasi tena ya kuripoti kwani cheo chake ni kikubwa. PIa kwa muda mrefu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari.
Kumbe. Pole sana kwake bwana Chuwa.
 
Nilisikia ana cheo kikubwa hapo hivi sasa ndio maana hasikiki akiripoti.
 
Huwa anaonekana kwenye kipindi cha Meza Huru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…