Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Naipata Sana hii familia na sifa yao kuu watoto wote wa kiume wana miguu yenye tege la nje(miguu ya kushoto)wanapiga sana mpira hawa watu isipokua yule jamaa Shaibu Hussein amejikita kwenye udereva,baba yao(mzee daima) ni mnazi mkubwa sana wa yanga ila ni nguli wa ndumba hatari,kipindi cha shule shule kuna mdogo wao mmoja hivi aitwa Tatu Hussein teh teh teh nyumbani kwao ni pale mtwara karibu na polisi kotaz jirani na kwa masawe Ukimuona msalimie mwambie Chinga One wa jf anakusabahi sana.mdogo wake anaitwa FIKIRI HUSSEN MMACHINGA na dada yao pia wote walikuwa wachezaji wazuri tena vipaji hawa wadogo zake ni mapolisi ccm pia omari husseni huyu alikuwa majimaji ile ya garincha
Nimepamiss sana mtwara,hivi john Mental yupo?