Kawafata wazazi wake wako pamoja sasa[emoji1787][emoji1787]Yuko wapi K-sal aliyeimba mwana mkiwa?
πKaolewa?..Jamaa Mara ya mwisho nilikutana naye UDSM mwaka 2005 Kulikuwa na weeding pale ku a kaukumbi Fulani hivi,
Alikuwa na demu mmoja wa kiziungu kutoka Australia, nahisi keshaolewa huko kurudi tena mapema sidhani.
Yuko wapi K-sal aliyeimba mwana mkiwa?
Mr paul, solo thang na frank mtao wote hawa wameolewa na mijimama ya kizungu huko ulaya, bado husein machozi tuJamaa Mara ya mwisho nilikutana naye UDSM mwaka 2005 Kulikuwa na weeding pale ku a kaukumbi Fulani hivi,
Alikuwa na demu mmoja wa kiziungu kutoka Australia, nahisi keshaolewa huko kurudi tena mapema sidhani.
We tulia tu utapata habari zake, saivi anazurula na mimama ya kizungu kama minne hivi kila wamama walipo husein yupo, sasahivi ataolewa na mmoja wao, mimama ina kilo balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu machozi nae?
πππππKawafata wazazi wake wako pamoja sasa[emoji1787][emoji1787]