Yuko wapi Mr Paul?

Yuko wapi Mr Paul?

oxlade

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
601
Reaction score
96
Hivi yuko wapi yule fundi, gwiji na mkali wa R&B hapa nchni ktk miaka ya 90 Mr Paul?
 
anaish australia... Kaoa Mzungu na pia ana mtoto
 
Yuko wapi huyu nguli wa muziki wa RnB aliyetamba miaka ya 90 na mwanzoni mwa miaka ya 2000.

Mwenye taarifa zake tafadhali.
 
Alafu wasanii wengi wazuri wa RnB wanaishia Australia yeye na Rama dee naye yupo huko na mke wake mzungu
 
Back
Top Bottom