Yuko wapi msanii Dudubaya?

Familia yake imethibitisha hilo?
 
Dudubaya amepotea tokea 13 agosti, 2020 , leo ni miezi sasa lakini ukimya ni mkubwa,
hata km alitukana watu lakini thamani ya uhai ni kubwa kuliko matusi yake.

Dudubaya yupo wapi?
Kule Nyambitilwa Magu mlimani Kuna chaka la mandondocua, wakamtafute
 
Anaitwa Tumaini. Alishaokoka anaitwa Dudu Zuri. Currently, Konki Master Oili Chafu
 
Konki mnywa gongo muache atulie kwanza alichafua hali ya hewa sana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…