Pemba empire
JF-Expert Member
- Apr 29, 2018
- 467
- 1,339
Mtoto wake alisema hivyoFamilia yake imethibitisha hilo?
Kule Nyambitilwa Magu mlimani Kuna chaka la mandondocua, wakamtafuteDudubaya amepotea tokea 13 agosti, 2020 , leo ni miezi sasa lakini ukimya ni mkubwa,
hata km alitukana watu lakini thamani ya uhai ni kubwa kuliko matusi yake.
Dudubaya yupo wapi?
Ina maana hata vocha alikuwa haweki akatwe Kodi kuchangia pato la Taifa?Anamchango gani kwa taifa hili
Yuko wapi?yupo ilikuwa ni kiki
Kwa hiyo adhabu yake ni kifo?Anamchango gani kwa taifa hili
Kwani amekufa?Kwa hiyo adhabu yake ni kifo?
Kama hana mcgango ndiyo apotelee hivyo hivyo???Anamchango gani kwa taifa hili