Yuko wapi msanii Phillipo Nyandindi (O-TEN)

Anapakua mikungu ya ndizi na mizigo mingine kama magunia ya mkaaa hapa morogoro

Anafanya kazi yoyote ile,mara ya mwisho nilimuona akizibua choo cha jirani yangu
 
hawa wa nitarejea akutana na wachungaji wapiga dili kwa kutumia jina la Mungu, wamuabisha na kumdhalilisha
 
Inategemea definition yako ya Ushua! By then mama Gk alikua mhadhiri tu CBE amepata hela kwenye Ubunge miaka ya karibuni lakini kwa wakati ule ilikua familia ya kawaida tu yenye uhakika wa kula na kuvaa ila tulikariri wakazi wa Upanga wana hela
Hata Buff G alikua na familia ya ukweli bro wao mbunge kitambo akina Gembe
 
Aiseeeee jamaa alikua vizuri saaaana yule......
 
Hata Buff G alikua na familia ya ukweli bro wao mbunge kitambo akina Gembe
Umenielewa mkuu nilichomaanisha mwanzoni? Nilisema wengi wanaishi kwa ndugu na ndiyo kama hivyo kwa bros na uncles sio kwa wazazi! Kwa wakati ule walionekana wa kishua ila ukifanya tasmini sasa walikua ni wakazi tu wa nyumba za msajili upanga wengi wao!
 
Dar kawa mteja,maisha mzunguko ya kesho huwajui,tumuombee awe sawa.
 
Eyo am back again cheki wanajigamba
Wanajifoji kwa pamba
Wanajifanya much know ili twende sambamba
Walishatega mabomu ili kutulipua
Listen juhudi zao tulishazijua
Wananijengea bifu wengine wananisifu
Wanatamani niwe nao ili keshi wajisifu
Wanatuita watoto wa mama tukibisha wanadisi
No way its all about Benjamin's baby
But my side its powa tu peace an love ama zangu ama zao.........
 
Oky hiyo soda utakunywa wewe..First,U're grand Ma was a teacher,May her soul rest in peace.Your Aunt name start with M.And your nick name is Kibosongo..Au nakufananisha?


Mmmmh!, huo ubini wangu ndio umekusaidia kuniotea mkuu, wewe ni mtu wa pili kunijua humu, umetisha kwani hadi nickname la utotoni umelitaja,
 
Dah kweli masikio yanatofautiana! Nyandindi ni rapa bora? Ile inaitwa katuni hana tofauti na akina Kalama
Jamaa kazingua. O Ten hawezi kuwa Rapper bora kwa vigezo vyovyote viwavyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…