Yuko wapi Mtemi mwingine wa kupambana na Mbowe?

Cha ajabu ni kuwa mbowe anahubiri hoja zenye mashiko kwa wananchi. Ninyi badala ya kupambana nae kwa hoja ninyi mnapambana nae kwa kutumia mabavu, polisi, udikteta.
 
TEUZI

ova
 
Cha ajabu ni kuwa mbowe anahubiri hoja zenye mashiko kwa wananchi. Ninyi badala ya kupambana nae kwa hoja ninyi mnapambana nae kwa kutumia mabavu, polisi, udikteta.
Katoka kwa mbowe,anawavamia wafanyabiashara pia

Ova
 
Aisee, hizi elimu za kijinga mnasomeaga wapi

Hakuna mtu anapinga Sabaya kufanya siasa, issue ni Siasa za jinai...
Mkiendelea hivi wananchi wakaamua kuchukua hatua mkononi kujilinda mtafanyaje
Siasa ni sayansi sio nguvu
 
Usichoelewa Mr Mbena ni kule kutenganisha watanzania kiitikadi kwa mlengo wako wa kiccm na pia kuamini kila mtu aliyeccm ni mzalendo na nje ya hapo ni muasi na mpinga Kristo kitu ambacho sio kweli.Wewe kulingana na cv yako ni msomi ambaye unatakiwa kuchambua mambo kwa kutumia taaluma zaidi na si ushabiki wa vyama.Usije kuweka leadership qualities kuwa kiongozi ni lazima awe kama Sokoine au Magufuli hiyo si kweli kabisa katika uongozi kuna modalities na approaches kinachotazamwa ni outcome na sio mapambio mengi na kujitukuza.Wakati wa Sokoine pamoja na yote outcome ilikuwa nini na katika awamu ya 5 outcome ni nini. Madaraja na mabarabara ni means to development, maendeleo yanayogusa watu hivyo kama watu wanashangilia anapoondolewa mbaya wao bila kujali itikadi za kisiasa ndio hiyo tunaita outcome. Mimi ni neutral citizen hivyo sijadili kwa mtazamo wa vyama bali utanzania.
 
Kachukue buku saba pale Lumumba.

Mazee nyakati zimebadilika shtukeni.
 
Jina la Leslie linapendeza sana kina dada. Lakini dada yangu siasa hizo za kujikomba na kujipendekeza awamu hii hazipo.
Tanzania ina matatizo mengi kuliko Mbowe. Hai ni inataka Maendeleo sio kutafuta sifa za kipuuuzi puuzi.
Shida ya watu wa Aina ya Sabaya, Makonda, Ali Hapi na Chalamila ni kama zile za Mashoga, wakati nyie mnawaonea aibu wao wanajiona kawaida.
Hawafai kwenye jamii ya Kistaarabu kama Tanzania ya Mama Samia ambayo inataka haki.

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Nenda wewe kapambane na Mbowe shenzi type. Bado mko kwenye siasa za mshenzi anayeoza Chato kule tu?
 
Wewe mshenzi na cv zako za kuunga unga , ungefanya jambo jema sana kuficha ujinga wako kwa kutoandika utopolo huo hapo juu.
 
aliyesoma hii essay asaidie kusumarize Mama aendelea hivo hivo
 
Labda apewe kazi ya kushikishwa ukuta
 
Baba yako hiyo hela aliyotumia kukupeleka shule bora angenunua nguruwe afuge kuliko huu upuuzi unaofanya.
 
Kwahiyo Mbowe pia ndo alimwambia 7ya amnyali Boss wake Mkuu wa mkoa Mama Anna mbele ya waandishi. Si bure ww ubongo wako utakua umechanganyikana na mavi
 
Kulikua na ulazima gani kupost hadi kiwango chako cha elimu? Kiufupi mmechanganyikiwa nendeni mkambembeleze mume wenu
 
Lesile Mbena
Kumbe siasa za ccm ni za kitemi na kibabe?
Ndivyo ulivyofundishwa huko chuoni kuwa uongozi ni ubabe na utemi?
Kwa taarifa yako na wengine wenye nyongo ya aina yako msiokubali kuwa siasa za kizazi hiki zinataka ustaarabu Basi mlilieni aliyewafunda huenda akaamka kuja kuwabembeleza!
Ni ujinga kushadadia siasa za nguvu kwa kizazi hiki! Na hii ndiyo sababu kina Msukuma wanawaponda wasomi kwani hakuna ulichoelimika zaidi ya kujua kutaja majina ya marehemu!
 
Hivi shule za ivi mnasomaga wapi ? kuna uhusiano gani kati ya uvunjifu wa sheria wa sabaya na freeman Mbowe ? Yan kufukuzwa afukuzwe mwingine alafu lawama ziende kwa mingine ambaye hata hajamfukuza yeye ? Are you nuts ? Wtf is wrong with you guys ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…