Yuko wapi Mtemi mwingine wa kupambana na Mbowe?

Elimu yako badala ya kuingia kichwani iliingia Makalioni mwako,na vipi lile toto lako ulishalipa jina la Magufuli??kwa akilk zako hilo toto lako lazima litakuja kuwa SHOGA
 
Mleta mada nilifikiri una matamanio (ambition) makubwa ya kupata wadhfa mzito kupitia chama cha kijani KUMBE sio mtu wa mikakati?

Pamoja na kujitambulisha na namba za simu bado umeshikilia mambo ya mwendazake? Wajanja CCM wameshabadili gia sasa wanaenda na “kazi iendelee”.

Hakika, kwa hizi mada zilizopitwa na wakati za kupambana na Mbowe na CHADEMA utaishia kuwa mwanafalsafa uchwara. Expiry date yake (rasmi) ilikuwa 17/3/2021.
 
Mchukue Gwajima mkamfufue Magufuli
 
Ujinga mwingi sana kuona sabaya ni kiongozi mzuri sijui hizo “masters” zinakusaidia nini!
 
nimezisoma baadhi ya comments kwenye uzi huu, nilichokigundua, ni watu kujibu kwa ukali na kukemea utadhani mnakemea pepo, huyu jamaa, katoa mtizamo wako, kujibu hoja kwa kejeli au matusi au hasira, ni kukosa hoja, mapovu ya nini, au hizo ndo siasa.
 
Aisee, hizi elimu za kijinga mnasomeaga wapi

Hakuna mtu anapinga Sabaya kufanya siasa, issue ni Siasa za jinai...
Mkiendelea hivi wananchi wakaamua kuchukua hatua mkononi kujilinda mtafanyaje
Yaani aibu naona Mimi aiseee. Kama huyu ni Msomi,Mimi naomba niondolewe kwenye kundi la Wasomi.
 
Hizo degree za nini kama ndo uko mjinga hivyo. Ole Sabaya ndio wale wasiojulikana halafu wewe unamsifia muuaji, bogus kabisa.
 
Big up! Don’t you think so the beautiful Sky Eclat
 
Km mwenye masters Tanzania anakuwa na uelewa finyu wa mambo kiasi hiki basi hatuna budi kuiangalia elimu yetu upya.
 
Mpumbavu mkubwa sana wewe! Suffering from Acqured Stupidity disease.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ndo umeandika nn sasa .??Sabaya anapaswa kulipa madhambi yake haphap mnatesa sana watu miaka sita ilopita mbwa nyie
 
Bandiko reefu point zero kwani sabaya ndo wa kwanza kuwa mkuu wa wilaya ya hai?
Unataka kutwambia yeye ndo alikuwa the best na walopita hawakujua nini wanafanya?
Kwanini yeye na sio wengine walowahi kuwa viongozi hapo hai sasa mwambie atakula jeuri yake yaani yule mbwa anakiburi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…