Yuko wapi Mtemi mwingine wa kupambana na Mbowe?

Yaani siku hizi afadhali uweke Imani kwa mtu wa dalasa la saba kuliko wanaonjiita wasomi wa kupindukia Kama wewe!!
 
Ugoro...
 
NONSENSE!
Naelewa sasa kwanini hata mwendazake hakuwahi kukupa hata uenyekiti wa serikali ya mtaa, pamoja na kuandika bandiko la kumshukuru kulala nanyi Morogoro.
Shaka anayetiliwa mashaka, akapewa shavu la Uenezi.

Everyday is Saturday............................. 😎
 
Reactions: BAK
Hahahahahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Anadhani Mama Ni kama babu yake mwendazake yaani anajiendea tu

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Peleka upumbavu wako kwa babako wa kambo, ujinga ujinga wenu wa uvccm kutesa watu kwisha, nendeni chato mkatie mazindiko, na pia haya ma gazeti yenu jamii forum andikieni uko uko Lumumba. Povu kama looote.
 
Mtoa mada ww ni mwerevu kuliko Mama aliyemuweka kando Saambaya. Wakati mwingine kukaa kimya kuliko kuandika upuuzi kama huu uliandika.
 


Duh hizi elimu sijui mnazipata wapi.Sasa naanza kuelewa kwanini wakina Kibajaji na Msukuma wanadharau wasomi wetu.
 
Kuwa kwake kijana haikuwa justification ya kudhulumu na kutesa watu,Dr Salim aliteuliwa kuwa balozi nchini misri akiwa na miaka 18 tuh,na ipo mifano mingine Mingi ya viongoz vijana walioifanya Kaz kwa weledi,kwani kipimo Cha uongoz ni kusimamia Maendeleo au kuwatesa wapinzan?hao wapinzani wapo hapo kisheria,hii ni nchi ya vyama vingi iweje kuua upinzan ndiyo iwe nguzo ya kupewa cheo??kama unawakera huo upinzan basi rudin kwenye monopartisim
 
Kuwa kiongozi si lazima uwe DC,RC,Waziri au Katibu! Akaongozefamilia yake akibahatika kuchomoka.Vinginevyo akawe "mnyapara" gerezani. Vyote ni nafasi za uongozi.Au wewe huna familia????
 
Nilichokusifu umeweka kabisa na wasifu wako na tu-namber twa simu!!
Nilikuwa natafuta mtu wa kuchoma nyama nzuri hapa mnadani kwenye pub yangu,kwa wasifu wako utanifaa sana,nitakupigia,usiwaze kuhusu posho yako, hutakosa elf saba kwa siku na hapo umeshakula.
 
Kama wanaoitwa wasomi wako hivi, kumbe Msukuma yuko sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…